iqna

IQNA

utawala haramu wa israel
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwanajeshi wa zamani wa utawala haramu na wa Kizayuni wa Israel amezirejesha funguo za Babul-Magharibah, moja ya milango ya ukuta wa magharibi wa Msikiti wa Al-Aqsa, tangu alipoziiba miaka 56 iliyopita katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na akaeleza: "hivi ndivyo Israel inapaswa kuwafanyia Wapalestina".
Habari ID: 3477032    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, jinai za utawala ghasibu wa Israel zitajibiwa na wanamapambano shupavu wa Kipalestina na katu hazibakia hivi hivi bila ya majibu.
Habari ID: 3476625    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/25

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Waandishi habari wapatao hamsini na watano wa Kipalestina wameuawa na utawala katili wa Israel tangu mwaka 2000 ikiwa ni katika njama za utawala huo wa kikoloni za kuzuia habari za jinai zake dhidi ya Wapalestina kuwafikia walimwengu.
Habari ID: 3476384    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Jinai za Isarel
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa Wazi wa Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Jumanne ulifanyika kuchunguza kuendelea hujuma za Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), kwa ombi la Dola ya Palestina na Ufalme wa Jordan.
Habari ID: 3476381    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Mashirika 198 ya Palestina na kimataifa yameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza jinai za utawala wa kikoloni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3476164    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya kijeshi vya utawala ghasibu wa Israel vimempiga risasi na kumuua shahidi kijana mwingine wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3475735    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Siku tatu za mashambulizi mutawalia ya utawala haramu wa Israel huko Gaza yalisababisha vifo vya raia Wapalestina 45 wakiwemo watoto 15 na wanawake wanne huku wengine 360 wakijeruhiwa.
Habari ID: 3475596    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Wapalestina waliouliwa shahidi katika jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni huko Gaza imeongezeka na kufikia watu 24 wakiwemo watoto wadogo sita.
Habari ID: 3475589    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni wameushambulia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa mnasaba wa utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
Habari ID: 3475209    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa kituo cha afya na majengo mengine kadhaa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474766    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa mapema leo Ijumaa umepasisha azimio linalolaani na kubatilisha hatua zote za Israel katika eneo la Syria la Golan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo na kuutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe hatua zote zinazokiuka sheria za kimataifa.
Habari ID: 3474660    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10

TEHRAN (IQNA)- Majeshi ya majini ya utawala haramu wa Israel, Bahrain, Marekani na Umoja wa Falme za Kiarabu yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Sham hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa pande hizo nne kukiri wazi kuwa zinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
Habari ID: 3474546    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA)- Abdulatif al-Qanua, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina HAMAS ametahadharisha kuwa, hali mbaya ya mazingira yasiyo ya kibinadamu wanayoishi mateka Wapalestina, ambao wanashikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni, yatakuwa cheche itakayowasha moto wa mapigano ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474538    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel Jumatano waliuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa katiak mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473974    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03

Kamanda wa Kikosi cha QUDS cha IRGC
TEHRAN (IQNA) - Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuanza kutafakari kuondoka katika ardhi za Palestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3473962    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Jumatatu tarehe 28 Septemba, imesafidiana na kutimia miaka 20 tangu kulipotokea Intifadha ya Pili inayojulikana kama Intifadha ya al-Aqswa.
Habari ID: 3473213    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/29

TEHRAN (IQNA) - Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kunyakua asilimia 30 zaidi ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ilizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ilizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.
Habari ID: 3472967    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16

TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wamwashambulia na kuwafyatulia risasi Wapalestina ambao walikuwa wanashiriki katika mazishi ya Mpalestina, Ibrahim Mustafa Abu Yakub.
Habari ID: 3472952    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasita hata kidogo katika kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kuvunja shari za utawala bandia na ghasibu wa Kizayuni.
Habari ID: 3472933    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06

TEHRAN (IQNA) - Jumatano Wapalestina walifanya maandamano makubwa dhidi ya utawala haramu wa Israel chini ya anuani ya ‘Siku ya Hasira’ maandamano ambayo yaliungwa mkono kimataifa.
Habari ID: 3472923    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02